LIVE STREAM ADS

Header Ads

Rais Samia azindua Maabara ya Sayansi Skuli ya Kizimkazi iliyojengwa na Benki ya CRDB

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Online Media. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama ripotabmg@gmail.com
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Samia Suhuhu Hassan (watatu kushoto) kwa pamoja na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Lela Mohammed Musa (wapili kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela wakikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Maabara ya Sayansi katika Skuli ya Sekondari ya Kizimkazi yenye thamani ya Sh. Milioni 50 iliyojengwa kwa msaada wa Benki ya CRDB leo Agosti 02, 2022. 

Wengine pichani kutoka kulia ni Waziri wa Utumishi na Utawala bora Zanzibar, Haroun Ali Suleiman, Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Abdalla Juma Sadala pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Rashid Hadid Rashid.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Samia Suhuhu Hassan kwa pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela wakifungua kitambaa kwenye jiwe la msingi kuashiria uzinduzi rasmi wa Maabara ya Sayansi katika Skuli ya Sekondari ya Kizimkazi yenye thamani ya Sh. Milioni 50 iliyojengwa kwa msaada wa Benki ya CRDB leo Agosti 02, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Samia Suhuhu Hassan akipata maelezo kutoka kwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Lela Mohammed Musa (kulia), wakati wa uzinduzi rasmi wa Maabara ya Sayansi katika Skuli ya Sekondari ya Kizimkazi yenye thamani ya Sh. Milioni 50 iliyojengwa kwa msaada wa Benki ya CRDB leo Agosti 02, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Samia Suhuhu Hassan akifurahia burudani kutoka kwa wanafunzi wa Skuli ya maandalizi Kizimkazi wakati wa uzinduzi rasmi wa Maabara ya Sayansi katika Skuli ya Sekondari ya Kizimkazi yenye thamani ya Sh. Milioni 50 iliyojengwa kwa msaada wa Benki ya CRDB leo Agosti 02, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Samia Suhuhu Hassan akipata maelezo ya mradi wa maabara kutoka kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa, wakati wa uzinduzi rasmi wa Maabara ya Sayansi katika Skuli ya Sekondari ya Kizimkazi yenye thamani ya Sh. Milioni 50 iliyojengwa kwa msaada wa Benki ya CRDB leo Agosti 02, 2022.
Mwonekano wa jengo lililojengwa na CRDB katika Skuli ya Kizimkazi Zanzibar. 
Na Cathbert Kajuna, Zanzibar 

No comments:

Powered by Blogger.