LIVE STREAM ADS

Header Ads

HII NDIYO MIDOLI YA KIKE YA NGONO AMBAYO IMEINGIA SOKONI KWA AJILI YA WANAUME.

Sex Doll


Kampuni moja imedai kufanikiwa kutengeneza Midoli ya Ngono (Sex Dolls) yenye Mwonekano halisi wa Msichana (Mwanamke) ikiwa na ngozi na macho halisi kama ya Mwanadamu wa ukweli ukweli.
Sex Doll
Kampuni hiyo ambayo inafahamika kama Orient Industry kutoka nchini Japan imesema kuwa ni vigumu kuitofautisha Midoli hiyo na Msichana halisi pale unapoitazama kutokana na namna inavyofanana na (Msichana) Mwanadamu halisi.
Sex Doll
Kwa Mara ya Kwanza Midoli hiyo imepewa jina la Dutch Wives na Matangazo ya Midoli hiyo yanafafanua kuwa Iwapo Mwanaume atafanya Mapenzi na Midoli hiyo basi hataweza kumtamani Mwanamke (Msichana) halisi tena.

Tayari Midoli hiyo imeingia sokoni na Inauzwa kwa bei ya Euro 1,000 ikiwa ni sawa na Shilingi za Kitanzania Milioni 2.7 kwa kila Mdoli Mmoja, na imeelezwa kuwa Midoli hiyo imetengezwa kwa kuiwekea Viungo ambavyo vinamfanya Mtumiaji kuigeuza kwa Style aitakayo ama aipendayo wakati akiitumia kukidhi haja zake za kimapenzi.
Sex Doll
Midoli hii imeonekana kuzua gumzo kote duniani kutokana na Hofu kwamba huenda ndoa nyingi zikavunjika kutoka na kila mmoja katika ndoa (Mme na Mke) kuhamishia mapenzi yake katika vifaa hivi vya kujikimu kimapenzi, kwani wakati Midoli hii ya Kike inaingia Sokoni kwa ajili ya Matumizi ya kimapenzi kwa Wanaume, tayari kuna vifaa kadha wa Kadha kwa ajili ya Matumizi ya Kimapenzi kwa ajili ya Matumizi ya Wanawake katika kukidhi haja zao za kimapenzi.
Sex Doll
 Na: George Binagi @99.4 Metro FM & Mtanzania Media KWA HISANI YA MTANDAO.

No comments:

Powered by Blogger.