Baadhi ya Kampuni za ulinzi hapa nchini, hususani Kampuni binafsi
zimekuwa zikilalamikiwa na Maaskari wake kutokana na Ujira Mdogo unaotolewa na
Makampuni hayo, huku mengine yakienda mbali zaidi na kuchelesha ama kutotoa
malipo kwa wakati kwa maaskari wake hali ambayo ni dhahri kwamba inaweza kuhatarisha
usalama katika maeneo yanayolindwa na Makampuni hayo.
Kwa kampuni ya KK-Security, Malalamiko kama hayo hayajasikika
yakitolewa hali ambayo imekuwa ikiimarisha uaminifu wa Kampuni hiyo kwa wateja
wake na hivyo kujikuta ikijiimarisha siku baada ya siku katika soko la Ulinzi
hapa nchini.
|
No comments: