Bi.Esther Mathias Mashauri ambae ni Mshindi wa Gari aina ya Toyota IST kutoka Airtel kupitia Promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi kutoka Isamilo Jijini Mwanza (Kushoto) akiwa katika Ofisi za Airtel Kanda ya Ziwa zilizopo Jijini Mwanza.
Ili kuingia katika Droo ya Airtel Yatosha zaidi unapaswa kujiunga na Vifurushi vya Yatosha zaidi kutoka Airtel vya Siku, Wiki au Mwezi kutoka Airtel na Moja kwa Moja utakuwa umeingia katika droo hiyo ambayo inakuwezesha kujishindia Gari aina ya Toyota IST lakini pia ukipata MSG zaidi, Dakika zaidi pamoja na Vifurushi vya Internet zaidi. Piga *149*99# Kwa maelezo zaidi. |
No comments: