MAMAA WA MIPASHO KUTOKA RADIO METRO AZUNGUMZIA MAISHA YA WATANGAZAJI WA KIKE HAPA NCHINI.
Amina Rashid
Na: George GB PazzoKwa Support kubwa kutoka kwao StarTimes, leo Binagi Radio kupitia Binagi Media Group tunakuletea Mahojiano Maalumu na Amina Rashidi a.k.a Mamaa wa Mipasho ambae ni Mtangazaji wa Radio Metro ya Jijini Mwanza ambapo anazungumzia maisha ya Watangazaji wa Kike nchini Tanzania Kabla na Baada ya ndoa.
BONYEZA PLAY HAPA CHHINI KUSIKILIZA MAHOJIANO BINAGI MEDIA GROUP PRODUCTIONS
No comments: