LIVE STREAM ADS

Header Ads

MAHAFALI YA NANE YA KIDATO CHA NNE KATIKA SHULE YA SEKONDARI REBU ILIYOPO TARIME YAFANA.

Mkuu wa Shule ya Sekondari Rebu iliyopo Tarime Mkoani Mara Mwl.Nelson Richard jana Septemba 25,2015 akisoma Risala ya shule katika Mahali ya Nane ya Kidato cha nne ya shule hiyo ambayo ni ya kutwa ikiwa na mchanganyiko wa Wavulana na Wasichana kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne.
Na:George Binagi-GB Pazzo
Katika risala hiyo, Mwl.Richard alibainisha kuwa shule inakabiliwa na baadhi ya changamoto ikiwemo ukosefu wa wigo wa shule pamoja na uchakavu wa madarasa ikiwemo kukosa sakafu hali inayosababisha ugumu kwa wanafunzi katika kujifunza.

Mahafali hayo yalikuwa ya kuvutia sana kwa kuwa wanafunzi wa shule hiyo walionyesha vipawa vya aina mbalimbali ikiwemo Igizo, Kuruka Sarakasi, Kuimba pamoja na Kucheza Muziki (Dance).
Mkuu wa Shule ya Sekondari Rebu iliyopo Tarime Mkoani Mara Mwl.Nelson Richard jana Septemba 25,2015 akisoma Risala ya shule katika Mahali ya Nane ya Kidato cha nne ya shule hiyo ambayo ni ya kutwa ikiwa na mchanganyiko wa Wavulana na Wasichana kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne.
Mkuu wa Shule ya Sekondari Rebu iliyopo Tarime Mkoani Mara Mwl.Nelson Richard jana Septemba 25,2015 akisoma Risala ya shule katika Mahali ya Nane ya Kidato cha nne ya shule hiyo ambayo ni ya kutwa ikiwa na mchanganyiko wa Wavulana na Wasichana kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne.
Mgeni Rasmi katika Mahafali ya nane ya Kidato cha nne katika shule ya Sekondari Rebu iliyopo Wilayani Tarime George Obuto ambae ni Afisa Elimu Sekondari katika Wilaya hiyo akizungumza katika Mahafali hayo.

Zaidi aliwasihi wazazi kushiriki katika kutatua baadhi ya changamoto zinazoikabiri shule hiyo ikiwemo suala la ukarabati na ujenzi wa madarasa pamoja na utatuzi wa changamoto ya ukosefu wa wigo shuleni hapo.
Mgeni Rasmi akikabidhi cheti kwa mhitimu
Mhitimu akipokea cheti
Mgeni Rasmi akikabidhi cheti kwa mhitimu
Mgeni Rasmi akikabidhi cheti kwa mhitimu
Mhitimu akipokea cheti
Mgeni Rasmi akikabidhi cheti kwa mhitimu
Mwalimu alietimiza vyema wajibu wake akipongezwa
Wahitimu wa Kidato cha Nne Rebu Sekondari 2015
Wahitimu wa Kidato cha Nne Rebu Sekondari 2015
Wahitimu wa Kidato cha Nne Rebu Sekondari 2015
Wahitimu wa Kidato cha Nne Rebu Sekondari 2015
Wazazi wa Wahitimu wa Kidato cha Nne Rebu Sekondari 2015
Waalimu
Mwalimu Wambura Mhoni alikuwa Mshereheshaji
Washereheshaji walikuwa ni Mwalimu Mengi Mohamed (Kushoto) pamoja na Mwalimu Wambura Mhoni (Kulia)
Mmoja wa wahitimu akikata keki
Mmoja wa wahitimu akimlisha mzazi wake keki
Mhitimu (Wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Mwalimu wake (Kulia), mzazi wake (wa pili kushoto) na mmoja wa mwanafunzi wa Rebu Sekondari
Mhitimu akimlisha keki mwalimu wake
Ni wasaa wa keki
Ni wasaa wa keki
Keki time
Mhitimu akiwa na wanafamilia
Kushoto ni Mhitimu akiwa na mwanafamilia
Msosi
Mwalimu Manguye (kushoto) akiwa pamoja na Mwalimu Mussa (kulia) wote kutoka Shule ya Sekondari Rebu.
BINAGI MEDIA GROUP, INAWATAKIA WAHITIMU WOTE KILA LA KHERI KATIKA MTIHANI WAO WA MWISHO.
Tazama Mahafali Mengine HAPA

No comments:

Powered by Blogger.