KAIMU KATIBU MKUU UVCCM TAIFA ANYOFOA 51 KUTOKA UKAWA MKOANI ARUSHA.
Kaimu
Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (mwenye shuka jekundu) akiwasili eneo la mkutano wa hadhara katika kata ya Albalabal
wilaya ya Ngorongoro Mkoani Arusha.
Ilikuwa juzi ambapo Shaka alihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kata hiyo ikiwa ni katika kuhitimisha ziara yake Wilayani ngorongoro. Mkutano huo ulikuwa wa aina yake kwani uliwavuta ndani ya chama vijana wapya zaidi ya 51 kutoka Ukawa ambao walipokea kadi mpya za CCM.
Kaimu katibu Mkuu pamoja na viongozi alioongozana wakisaini
vitabu vya wageni
Diwani
wa Kata ya Albalbal Ndg:Emmanuel Gabriel Tonge Akihutubia kwa kumkaribisha
Kaimu Katibu Mkuu Shaka H Shaka katika kata ya Albalbal
Pia katika ziara hiyo Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa, Shaka Hamdu Shaka
aliweza kupokea wanachma wapya zaidi ya 51 katika kata ya Albalbal
Baadhi
ya Wanachama wapya wakila kiapo cha chama
Kaimu Katibu Mkuu Shaka Hamdu Shaka akivikwa shuka la kimila
ikiwa ni ishara ya kupokelewa na Wananchi wa Kimasai katika kata hiyo
Kaimu Katibu Mkuu Shaka Hamdu Shaka akicheza nyimbo ya kimasai
pamoja na Wananchi wa kata ya Albalbal
Kaimu Katibu UVCCM Taifa, Mkuu Shaka Hamdu Shaka akihutubia Wananchi wa Kata
hiyo
Kaimu
Katibu Mkuu UVCCM Taifa, Shaka Hamdu Shaka akihutubia Wananchi wa Kata Ya ALBALBAL, Ngorongoro Mkoani Arusha.
Wananchi wa Kata ya Albalbal, Ngorongoro Mkoani Arusha, wakimsikiliza Kaimu Katibu Mkuu Uvccm Taifa kwa umakini.
Imeandaliwa na Fahad Siraji
No comments: