WAZAZI NA WALEZI HII INAWAHUSU.
Ikiwa Una Habari, Tukio, Picha, Maoni au Tangazo, Wasiliana Na BMG Kwa Nambari za Simu 0757 432694 Au Email binagimediagroup@gmail.com
Mtoto akiwa na mtoto mgongoni kama alivyokutwa na Vesterjtz wa BMG katika eneo la Independence Mjini Dodoma.
Ni vyema watoto kufundishwa shughuli mbalimbali lakini inapaswa wazazi/walezi kuwafundisha shughuli zisizoathiri haki zao za msingi ikiwemo kuzidishiwa majukumu ama kupata elimu.
No comments: