LIVE STREAM ADS

Header Ads

Kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa atoa ujumbe mzito Ilemela

Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.

Mwenge wa Uhuru umewasili katika wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza hii leo Septemba Mosi, 2018 ambapo utakagua, kuweka mawe ya msingi na kuzindua miradi minane ya maendeleo katika Kata 11 yenye thamani ya shilingi bilioni 1.9 (Tsh. 1,928,043,950.27).

Kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa Ndg. Charles Kabeho ametumia fursa ya mapokezi ya Mwenge huo yaliyofanyika katika uwanja wa Mwatex kutoa ujumbe wa Mwenge mwaka huu.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Tazama BMG Online Tv hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.