Biteko apiga marufuku uchenjuaji dhahabu kandoni mwa Ziwa Victoria
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.
Naibu Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko amewataka wachimbaji wadogo wa dhahabu katika machimbo ya Ikungu wilaya ya Musoma mkoani Mara kusitisha shughuli za uchechuaji dhahabu ndani ya mita 60 kutoka Ziwa Victoria lililo jirani na machimbo hayo.
No comments: