Bora useme ugonjwa huu si wa hapa/ usimwambie hakuna dawa- Majaliwa
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa aliyasema hayo baada ya kukagua miundombinu na kufungua Kituo
cha Afya Koromije kilichopo Wilaya Misungwi mkoani Mwanza, Machi 19, 2019. Mwaka
jana Serikali ilitoa shilingi Milioni 500 kwa ajili ya upanuzi wa Kituo hicho.
Tazama BMG Online TV hapa chini
Wananchi waupokea vyema mradi wa Kituo cha Afya Koromije
Ukarabati Kituo cha Afya Koromije wakamilika
#PamojaDaimaBMG
No comments: