LIVE STREAM ADS

Header Ads

DUH! Kiongozi wa Mwenge alivyowageuzia kibao viongozi

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

Mwenge wa Uhuru Mei 15, 2019 katika Halmashauri ya Wilaya Sengerema uliweka jiwe la msingi mradi wa maji Kijiji cha Busisi, kukagua uendelevu wa kisima kirefu cha maji Nyamasale, kuzindua klabu ya kupinga rushwa katika Shule ya Sekondari Lusikwe.

Pia ukaweka jiwe la msingi ujenzi wa Shule ya Msingi Kachuo, maabara ya uzalishaji vifaranga vya samaki Chamabanda huku miradi miwili ambayo ni ujenzi wa jengo la wazazi katika Zahanati ya Kasenyi pamoja na barabara ya Igaka-Buzilasoga kwa kiwango cha moramu ikikataliwa.
Tazama BMG Online TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.