Wanahabari na Wahariri Tanzania waishauri TANAPA kuhusu Kisiwa cha Saanane
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Fuatilia ziara
ya Wanahabari na Wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya Habari nchini Tanzania waliyoifanya
katika Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Saanane kilichopo ndani ya Ziwa Victoria jijini
Mwanza, iliyoratibiwa na Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA),
Jumamosi Julai 06, 2019.
Tazama BMG Online TV hapa chini
No comments: