LIVE STREAM ADS

Header Ads

Wanafunzi wa vyuo watakiwa kujiepusha na muweweseko wa vishawishi

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
 Shirika la kutetea haki za wanawake na wasichana KIVULINI limetoa rai kwa wanafunzi hususani wa kike katika vyuo mbalimbali nchini kujiepusha na vishawishi vinavyoweza kukatisha ndoto zao na badala yake kujikita kwenye masomo.

Mkurugenzi wa shirika hilo, Yassin Ally aliyatoa rai hiyo Novemba 29, 2019 kwenye kongamano la wanafunzi wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Buhare kilichopo Wilaya Musoma mkoani Mara lililolenga kuwajengea uwezo ili kujitambua na kutimiza ndoto zao.
#BMGHabari
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.