LIVE STREAM ADS

Header Ads

Watakaojaribu kuficha sukari waonywa

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

 Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella Jumamosi Aprili 25, 2020 amekagua maghara ya sukari jijini Mwanza na kuonya kwamba yeyote atakayejaribu kuficha bidhaa hiyo muhimu atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
  Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella (kulia) akimsikiliza Mkurugenzi wa kampuni ya VH. Shah, Pravin Shah inayosambaza sukari mikoa ya Kanda ya Ziwa baada ya kutembelea ghara la kampuni hiyo jijini Mwanza.
 Sehemu ya shehena ya sukari iliyo katika ghara la kampuni ya VH. Shah jijini Mwanza.
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.