LIVE STREAM ADS

Header Ads

Mwanza “Mongella apokea vifaa vya kujikinga na Corona”

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

 Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella amepokea vifaa mbalimbali vitakavyogawiwa bure katika maeneo ya umma kwa ajili ya kusaidia mapambano dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona (Covid- 19).

Mongella amepokea vifaa hivyo Alhamisi Aprili 16, 2020 vikijumuisha ndoo za maji na sabuni kwa ajili ya kunawia mikono ambapo msaada huo umetolewa na wadau kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Swaminarayan Temple Tanzania, Nyanza Road Works, Nyanza Bottles (Cocacola), Siri Guru Singh Sabha Mwanza, Hindu Union Temple Mwanza pamoja na Henan Afro-Asia Geo-Engireering (T) Company Limited.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
 Vifaa mbalimbali kwa ajili ya kusaidia mapambano dhidi ya Corona mkoani Mwanza.
 Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella akipokea vifaa vya kujikinga na Corona kutoka kwa wadau wa maendeleo.
 Vifaa mbalimbali vya kujikinga na Corona vilivyotolewa na wadau mkoani Mwanza.
  Vifaa mbalimbali vya kujikinga na Corona vilivyotolewa na wadau mkoani Mwanza.
 Vifaa mbalimbali ikiwemo ndoo za maji vilivyotolewa na wadau mkoani Mwanza.
 Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella (kulia) akipokea vifaa vya kujikinga na Corona kutoka kwa wadau wa maendeleo.
 Wananchi wametakiwa kuzingatia taratibu zinazotolewa na wataalamu wa afya ili kujikinga na maambukizi ya Corona.
 Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella akipokea vifaa vya kujikinga na Corona kutoka kwa wadau wa maendeleo.
 Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye picha ya pamoja.
 Viongozi waliohudhuria hafla fupi ya kupokea vifaa hivyo wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.