LIVE STREAM ADS

Header Ads

Tutaishinda Corona “tufuate masharti”- RC Mongella

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

 Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella (kushoto) amewasihi wananchi kuendelea kuchapa kazi huku wakizingatia masharti ya kiafya hatua ambayo itasaidia mapambano dhidi ya Corona kuzaa matunda.

“Kama Rais wetu alivyotutia moto, Corona tutaishinda tu. Tufuate masharti ya wataalamu wetu wa afya, tufanye kazi, tufanye mazoezi na vile vile tupige nyungu” Mongella aliyasema hayo Mei 14, 2020 wakati akipokea msaada wa matenki ya maji kutoka kampuni ya Motsan kupitia chapa yake ya Kiboko.
#BMGHabari
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.