UKEREWE “Majaliwa awasafishia njia ya wagombea wa CCM”
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kassim Majaliwa Septemba 23, 2020 amefika katika Wilaya Ukerewe mkoani Mwanza kuwanadi na kuwaombea kura wagombea wa chama hicho kuanzia ngazi ya udiwani, ubunge na urais.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Tazama BMG ONLINE TV hapa chini
SOMA>>> Mkutano wa Majaliwa Magu
No comments: