SILINDE nusra atumbue viongozi Mwanza. Tumeleta fedha, kazi haijaisha
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Naibu Waziri OR-TAMISEMI, David Silinde amekasirishwa na hatua ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza kushindwa kukamilisha ujenzi wa bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari Buhongwa kwa gharama iliyotolewa na Serikali kiasi cha shilingi milioni 80 kwa madai kwamba gharama za vifaa zimeongezeka.
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> Habari zaidi hapa
No comments: