ILIVYOKUWA KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA IDADI YA WATU DUNIANI, YALIYOFANYIKA KITAIFA MKOANI MWANZA.
| Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarist Ndikilo (Kulia) akiwa na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu duniani UNFPA nchini Tanzania Dkt.Rutasha Dadi (Kushoto). |
| Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarist Ndikilo (Kulia) akiwa na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu duniani UNFPA nchini Tanzania Dkt.Rutasha Dadi (Kushoto). |
| Peter Niboye Mwakilishi wa Vijana nchini akiwasilisha Mapendekezo ya Vijana kwa Serikali Katika Maadhimisho hayo. |
| Alikuwa Mc.wa Shughuli. |
| Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu duniani UNFPA nchini Tanzania Dkt.Rutasha Dadi. |
| Salama Makame Kutoka Ofisi ya Rais Tume ya Mipango Zanzibar. |
| Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarist Ndikilo. |
| Hii ndiyo ilikuwa Kauli mbiu ya Maadhimi hayo Mwaka huu.."Wekeza Kwa Vijana". |
No comments: