ILIVYOKUWA KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA IDADI YA WATU DUNIANI, YALIYOFANYIKA KITAIFA MKOANI MWANZA.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarist Ndikilo (Kulia) akiwa na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu duniani UNFPA nchini Tanzania Dkt.Rutasha Dadi (Kushoto). |
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarist Ndikilo (Kulia) akiwa na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu duniani UNFPA nchini Tanzania Dkt.Rutasha Dadi (Kushoto). |
Peter Niboye Mwakilishi wa Vijana nchini akiwasilisha Mapendekezo ya Vijana kwa Serikali Katika Maadhimisho hayo. |
Alikuwa Mc.wa Shughuli. |
Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu duniani UNFPA nchini Tanzania Dkt.Rutasha Dadi. |
Salama Makame Kutoka Ofisi ya Rais Tume ya Mipango Zanzibar. |
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarist Ndikilo. |
Hii ndiyo ilikuwa Kauli mbiu ya Maadhimi hayo Mwaka huu.."Wekeza Kwa Vijana". |
No comments: